| ilianza hivi,siku moja kabla ya tukio. |
| katika maandalizi zaidi |
| ni jumapili asubuhi,album ikiwekwa wakfu...Pastor Chambo na Mic,Pastor Ezekiel akionyesha kwa kanisa |
| CASFETA kwa pamoja,wakimshukuru MUNGU |
| Wakajipanga kwa tukio "baby yellow" |
| wakajiunga na wakaka |
| IJA nao walikuwepo |
| "Uwezo" wkaiingia sasa |
| Hossana Band |
| mgeni rasmi akizindua |
| msifu BWANA!!!!!!!!! |
| halleluya!!!!!! |
| MC katika ubora wake akimhoji madam Kika |
| katika ubora wao |
| Bondeni group wakiongozwa na Baba Benja |
| kila mtu na copy yake |
| Myenyekiti wa kwaya akiweka sadaka ya shukrani |
Ni jumapili ya tarehe 8 mwezi wa 6 2014,siku ambayo ilisubiliwa kwa shauku kubwa na wanakwaya wa NEW JERUSALEM CHOIR..Katika ubora wao ilikuwa nzuri sana usikose nakala yako bado zinapatikana.Kwa mawasiliano zaidi 0755634144,0769781143
No comments:
Post a Comment