Tuesday, June 10, 2014

THE BEST OF "NEW JERUSALEM CHOIR"

ilianza hivi,siku moja kabla ya tukio.

katika maandalizi zaidi

ni jumapili asubuhi,album ikiwekwa wakfu...Pastor Chambo na Mic,Pastor Ezekiel akionyesha kwa kanisa

CASFETA kwa pamoja,wakimshukuru MUNGU

Wakajipanga kwa tukio "baby yellow"

wakajiunga na wakaka

IJA nao walikuwepo

"Uwezo" wkaiingia sasa

Hossana Band

mgeni rasmi akizindua

msifu BWANA!!!!!!!!!

halleluya!!!!!!

MC katika ubora wake akimhoji madam Kika

katika ubora wao

Bondeni group wakiongozwa na Baba Benja

kila mtu na copy yake



Myenyekiti wa kwaya akiweka sadaka ya shukrani
Ni jumapili ya tarehe 8 mwezi wa 6 2014,siku ambayo ilisubiliwa kwa shauku kubwa na wanakwaya wa NEW JERUSALEM CHOIR..Katika ubora wao ilikuwa nzuri sana usikose nakala yako bado zinapatikana.Kwa mawasiliano zaidi  0755634144,0769781143

No comments:

Post a Comment