Monday, June 2, 2014

NEW JERUSALEM CHOIR




THE HIGHER THE COST, THE HIGHER THE VALUE
Haleluhya!, Sijui kama utapata neema yakuelewa kwa undani maana ya hapo juu.Simaanishi muonekano wa grammer au tense bali kile kilichoujaza moyo wangu juu ya New jerusalem choir kikanipelekea kuwaza hivyo.
Kwa ufupi zaidi ili kukomboa muda wako, mchakato ulikuwa mrefu sana, tangu maandalizi ya recording yaanze mwaka jana kwa kujitoa kwa hali ya juu, ila Mungu amekuwa Ebeneza kwetu.Yes, hakuna mafanikio yanayokuja kirahisi (hususani ya kiroho) bila kuingia gharama ndicho nilichojifunza.
  • Gharama ya maombi
  • Grarama ya Muda (Time cost)
  • Gharama ya Akili
  • Garama ya mali
  • Na nyinginezo
“Thamani ya wokovu ni kubwa sana”.Unajua hadi leo hii tunaufurahiya wokovu wapo ambao walitoa gharama kubwa sana kuhakikisha injili inatufikia,! tukianza na YESU mwenyewe ambaye aliacha enzi na utukufu, akashuka duniani, akateswa, akadharaulika ili sisi tupate wokovu (Wafilipi 2:3-8).Hapa napata kujifunza kitu pia kuhusiana na gharama yakufanikisha jambo flani that’s why we say "the higher the cost, the higher the value".Hii ina reflect direct mchakato wetu wa Recording.

All in all tunamtukuza Mungu kwa kuwa kwaya yetu inajiandaa kuweka wakfu album  mpya, yakwanza, iitwayo MAOMBI,
  • Tar 08/06/2014
  • Eneo; Ukumbi wa kanisa la PAG Magamba
  • Muda; Kuanzia saa 8:30 mch-12:00 jioni
  • Kwaya mbalimbali zitakuwepo (Bethel Gospel choir, Sekomu-Salvation choir)
  • Revival Band, Hossana Band
  • Casfeta SEKOMU Praise and worship Team kwa pamoja tutamtukuza Mungu siku hiyo
 Alafu ni yakwanza hii,  siyo ya kukosa kabisa, Karibu sana, mkaribishe na rafiki yako
 HAKUNA KIINGILIO
Niishie hapa kwa leo tukutane Tar 08 jumapili., Barikiwaaaa
Brthr. SHIJA, festo
0716 916244, Email; festojs@gmail.com

No comments:

Post a Comment