Watu wakifuatilia kwa makiiiini sana..
Anaitwaa..,MWL.NTEMI Ambaye pia ni mwalimu mlezi wa CASFETA IJA akirekebisha music sound
yap..,praise team sasa,,pooolepole
praise...
Aaame,ameee!!!!!!!
Ni kusifu tuu
Mtumishi KENEDY MUHOZA kutoka chuo cha SEKOMU katika neno la ufunguzi
uwepo wa MUNGU ukitembea...
Jina la YESU likifanya kazi....
Madam ARIS, Akimwadhimisha Bwana
Bendi hii ni Miongoni mwa waimbaji waliokuwepo usiku huo...kijana BENEDICT
Mheshimiwa Hakimu mkazi wilaya ya LUSHOTO,,,Akimtukuza MUNGU kupitia uimbaji
ni miongoni mwa waimbaji waliokuwepo
Shuka chini.....chini tena!!!!! My GOD IS GOODOOOOOOOO
kijana HANS kwenye piano pale,kitu PSRs....., hapo cord zimelala
Worship ikiendelea taratiiiiibu wakati wa maombezi
MC JAPHET MAFIE ...,Alicontrol vizur sana ibada ya mkesha.
No comments:
Post a Comment